Utangulizi
Mpunga hulimwa zaidi kama zao la msimu mmoja kwa mwaka. Zao hili huhitaji nguvu kazi kubwa na kiasi kikubwa cha maji. Halijoto ya kati ya 16-27 °C hufaa zaidi. Kupanda hadi kuvuna huchukua kati ya siku 90 hadi 120 (au zaidi).
Umwagiliaji
Kubwa
Kulima
iliyopandikizwa
Kuvuna
90 - 160 siku
Nguvukazi
Kubwa
Mwanga wa jua
full sun
Thamani ya pH
5.5 - 8.5
Halijoto
20°C - 35°C
Mpunga hulimwa zaidi kama zao la msimu mmoja kwa mwaka. Zao hili huhitaji nguvu kazi kubwa na kiasi kikubwa cha maji. Halijoto ya kati ya 16-27 °C hufaa zaidi. Kupanda hadi kuvuna huchukua kati ya siku 90 hadi 120 (au zaidi).
Chagua hatua yako ya ukuaji ili kuvinjari vidokezo muhimu!
Mpunga hulimwa zaidi kama zao la msimu mmoja kwa mwaka. Zao hili huhitaji nguvu kazi kubwa na kiasi kikubwa cha maji. Halijoto ya kati ya 16-27 °C hufaa zaidi. Kupanda hadi kuvuna huchukua kati ya siku 90 hadi 120 (au zaidi).
Mpunga hustawi vyema kwenye udongo wa aluvia na mabonde ya mito yenye rutuba. Hata hivyo, zao hili ni hodari na linaweza kupandwa kwenye udongo uliochanganywa au udongo wa tifutifu wa mfinyanzi ili mradi tu uwe na maji na mbolea ya kutosha.
Halijoto kati ya 16°C – 27°C na mvua ya sm 100 hadi 200 ni bora katika kuwezesha ukuaji wa mpunga. Hata hivyo, mvua wakati wa mavuno ni hatari. Halijoto ya mwaka mzima iliyo takriban 24 °C hufaa zaidi. Ili kuchipukiza, mbegu za mpunga zinahitaji kufyonza kiasi fulani cha maji ili kuifufua mbegu.
Umwagiliaji
Kubwa
Kulima
iliyopandikizwa
Kuvuna
90 - 160 siku
Nguvukazi
Kubwa
Mwanga wa jua
full sun
Thamani ya pH
5.5 - 8.5
Halijoto
20°C - 35°C
Mpunga hulimwa zaidi kama zao la msimu mmoja kwa mwaka. Zao hili huhitaji nguvu kazi kubwa na kiasi kikubwa cha maji. Halijoto ya kati ya 16-27 °C hufaa zaidi. Kupanda hadi kuvuna huchukua kati ya siku 90 hadi 120 (au zaidi).
Mpunga hustawi vyema kwenye udongo wa aluvia na mabonde ya mito yenye rutuba. Hata hivyo, zao hili ni hodari na linaweza kupandwa kwenye udongo uliochanganywa au udongo wa tifutifu wa mfinyanzi ili mradi tu uwe na maji na mbolea ya kutosha.
Halijoto kati ya 16°C – 27°C na mvua ya sm 100 hadi 200 ni bora katika kuwezesha ukuaji wa mpunga. Hata hivyo, mvua wakati wa mavuno ni hatari. Halijoto ya mwaka mzima iliyo takriban 24 °C hufaa zaidi. Ili kuchipukiza, mbegu za mpunga zinahitaji kufyonza kiasi fulani cha maji ili kuifufua mbegu.