Utangulizi
Papai ni tunda muhimu la kitropiki lenye virutubisho vingi kama vile vitamini C. Huthaminiwa pia kwa sifa zake za kitabibu. Bidhaa zake pia hutumiwa katika viwanda vya uzalishaji, viwanda vya madawa na viwanda vya nguo.
Umwagiliaji
Kubwa
Kulima
iliyopandikizwa
Kuvuna
730 - 1200 siku
Nguvukazi
Kubwa
Mwanga wa jua
full sun
Thamani ya pH
6.5 - 7.5
Halijoto
21°C - 35°C
Papai ni tunda muhimu la kitropiki lenye virutubisho vingi kama vile vitamini C. Huthaminiwa pia kwa sifa zake za kitabibu. Bidhaa zake pia hutumiwa katika viwanda vya uzalishaji, viwanda vya madawa na viwanda vya nguo.
Papai ni tunda muhimu la kitropiki lenye virutubisho vingi kama vile vitamini C. Huthaminiwa pia kwa sifa zake za kitabibu. Bidhaa zake pia hutumiwa katika viwanda vya uzalishaji, viwanda vya madawa na viwanda vya nguo.
Udongo tifutifu, wenye mchanga wenye pH ya kati ya 5.5 na 7.5 ni bora zaidi kwa kilimo cha mipapai. Udongo wa aluvia ulio kando ya njia za maji hutoa mazingira mbadala ya ukuaji. Licha ya kuwa na mizizi midogo, miti ya mipapai huhitaji udongo wenye kina kirefu unaotiririsha maji vizuri. Papai zinapaswa kupandwa katika maeneo yenye ulinzi dhidi ya upepo, au vinginevyo vizuia upepo vipandwe kwenye maeneo yanayozunguka ardhi husika.
Kilimo cha papai hufaa katika maeneo ya tropiki na tropiki ya kati yenye mwinuko wa hadi mita 600 kutoka usawa wa bahari. Hali ya hewa ya joto husaidia maendeleo ya zao hili. Unyevu mwingi huhitajika wakati wa ukuaji, huku hali kavu ikifaa wakati wa kukomaa. Upepo mkali huharibu zao hili kutokana na mizizi yake kuwa na kina kifupi.
Umwagiliaji
Kubwa
Kulima
iliyopandikizwa
Kuvuna
730 - 1200 siku
Nguvukazi
Kubwa
Mwanga wa jua
full sun
Thamani ya pH
6.5 - 7.5
Halijoto
21°C - 35°C
Papai ni tunda muhimu la kitropiki lenye virutubisho vingi kama vile vitamini C. Huthaminiwa pia kwa sifa zake za kitabibu. Bidhaa zake pia hutumiwa katika viwanda vya uzalishaji, viwanda vya madawa na viwanda vya nguo.
Udongo tifutifu, wenye mchanga wenye pH ya kati ya 5.5 na 7.5 ni bora zaidi kwa kilimo cha mipapai. Udongo wa aluvia ulio kando ya njia za maji hutoa mazingira mbadala ya ukuaji. Licha ya kuwa na mizizi midogo, miti ya mipapai huhitaji udongo wenye kina kirefu unaotiririsha maji vizuri. Papai zinapaswa kupandwa katika maeneo yenye ulinzi dhidi ya upepo, au vinginevyo vizuia upepo vipandwe kwenye maeneo yanayozunguka ardhi husika.
Kilimo cha papai hufaa katika maeneo ya tropiki na tropiki ya kati yenye mwinuko wa hadi mita 600 kutoka usawa wa bahari. Hali ya hewa ya joto husaidia maendeleo ya zao hili. Unyevu mwingi huhitajika wakati wa ukuaji, huku hali kavu ikifaa wakati wa kukomaa. Upepo mkali huharibu zao hili kutokana na mizizi yake kuwa na kina kifupi.