Utangulizi
Tikiti maji asili yake ni Afrika Kusini. Ni tunda la jangwani ambalo lina 92% ya maji pamoja na protini, madini na wanga. Matikiti maji hulimwa zaidi Maharashtra, Karnataka, Tamil Nadu, Punjab, Rajasthan, Madhya Pradesh, na Uttar Pradesh.
Umwagiliaji
Wastani
Kulima
upandaji mbegu moja kwa moja ardhini
Kuvuna
70 - 125 siku
Nguvukazi
Wastani
Mwanga wa jua
full sun
Thamani ya pH
6 - 7.5
Halijoto
20°C - 30°C
Tikiti maji asili yake ni Afrika Kusini. Ni tunda la jangwani ambalo lina 92% ya maji pamoja na protini, madini na wanga. Matikiti maji hulimwa zaidi Maharashtra, Karnataka, Tamil Nadu, Punjab, Rajasthan, Madhya Pradesh, na Uttar Pradesh.
Tikiti maji asili yake ni Afrika Kusini. Ni tunda la jangwani ambalo lina 92% ya maji pamoja na protini, madini na wanga. Matikiti maji hulimwa zaidi Maharashtra, Karnataka, Tamil Nadu, Punjab, Rajasthan, Madhya Pradesh, na Uttar Pradesh.
Tikiti maji hukua vizuri kwenye udongo wenye rutuba na usiotuamisha maji. Hutoa matokeo bora pindi linapopandwa kwenye udongo wa michanga au udongo wa michanga ya tifutifu wenye rotuba. Maji lazima yaweze kupita kwa urahisi kwenye udongo vinginevyo kambakamba za mmea huu zinaweza kupata maambukizi ya fangasi. Fuata utaratibu wa kilimo cha mzunguko wa mazao kwani kupanda zao moja kila mara kwenye shamba hilohilo husababisha upotevu wa virutubishi, mavuno duni na mashambulizi zaidi ya magonjwa. pH ya udongo lazima iwe kati ya 6.0 na 7.5. Udongo wenye asidi unaweza kusababisha kunyauka kwa mbegu. Ingawa udongo wenye pH ya kati hupendekezwa, mmea huu unaweza pia kukua vizuri hata kama udongo una alkali kidogo.
Kutokana na kuwa zao la msimu wa vuguvgu, mmea huu huhitaji jua la kutosha na hali ya hewa kavu ili kuwezesha uzalishaji wa matunda. Huko India, kwa kuwa hali ya hewa ni ya tropiki, misimu yote hufaa kwa kilimo cha tikiti maji. Hata hivyo, tikiti maji huathiriwa kwa urahisi na baridi na jalidi. Hivyo basi, katika sehemu za nchi zenye majira ya baridi kali, matikiti maji hupandwa baada ya baridi kupita. 24-27°C ni bora katika kuwezesha kuota kwa mbegu na ukuaji wa mimea ya tikiti maji.
Umwagiliaji
Wastani
Kulima
upandaji mbegu moja kwa moja ardhini
Kuvuna
70 - 125 siku
Nguvukazi
Wastani
Mwanga wa jua
full sun
Thamani ya pH
6 - 7.5
Halijoto
20°C - 30°C
Tikiti maji asili yake ni Afrika Kusini. Ni tunda la jangwani ambalo lina 92% ya maji pamoja na protini, madini na wanga. Matikiti maji hulimwa zaidi Maharashtra, Karnataka, Tamil Nadu, Punjab, Rajasthan, Madhya Pradesh, na Uttar Pradesh.
Tikiti maji hukua vizuri kwenye udongo wenye rutuba na usiotuamisha maji. Hutoa matokeo bora pindi linapopandwa kwenye udongo wa michanga au udongo wa michanga ya tifutifu wenye rotuba. Maji lazima yaweze kupita kwa urahisi kwenye udongo vinginevyo kambakamba za mmea huu zinaweza kupata maambukizi ya fangasi. Fuata utaratibu wa kilimo cha mzunguko wa mazao kwani kupanda zao moja kila mara kwenye shamba hilohilo husababisha upotevu wa virutubishi, mavuno duni na mashambulizi zaidi ya magonjwa. pH ya udongo lazima iwe kati ya 6.0 na 7.5. Udongo wenye asidi unaweza kusababisha kunyauka kwa mbegu. Ingawa udongo wenye pH ya kati hupendekezwa, mmea huu unaweza pia kukua vizuri hata kama udongo una alkali kidogo.
Kutokana na kuwa zao la msimu wa vuguvgu, mmea huu huhitaji jua la kutosha na hali ya hewa kavu ili kuwezesha uzalishaji wa matunda. Huko India, kwa kuwa hali ya hewa ni ya tropiki, misimu yote hufaa kwa kilimo cha tikiti maji. Hata hivyo, tikiti maji huathiriwa kwa urahisi na baridi na jalidi. Hivyo basi, katika sehemu za nchi zenye majira ya baridi kali, matikiti maji hupandwa baada ya baridi kupita. 24-27°C ni bora katika kuwezesha kuota kwa mbegu na ukuaji wa mimea ya tikiti maji.