Tango


Umwagiliaji
Wastani

Kulima
upandaji mbegu moja kwa moja ardhini

Kuvuna
45 - 70 siku

Nguvukazi
Wastani

Mwanga wa jua
full sun

Thamani ya pH
6 - 7.5

Halijoto
20°C - 30°C


Tango

Utangulizi

Tango ni mmea uoteshwao kila mwaka wakati wa msimu wa vuguvugu. Ni mmea unaokua kwa kujishikiza ambao hutumiwa kama mboga nchini India wakati wa kiangazi. Tunda la tango huliwa bichi au hutumiwa kama saladi au hupikwa kama mboga. Mbegu za tango hutumiwa kwenye utengenezaji wa mafuta yenye faida za kiafya.

Matunzo

Tango ni mmea uoteshwao kila mwaka wakati wa msimu wa vuguvugu. Ni mmea unaokua kwa kujishikiza ambao hutumiwa kama mboga nchini India wakati wa kiangazi. Tunda la tango huliwa bichi au hutumiwa kama saladi au hupikwa kama mboga. Mbegu za tango hutumiwa kwenye utengenezaji wa mafuta yenye faida za kiafya.

Udongo

Udongo wa tifutifu wenye maada za kikaboni kwa wingi, wenye utiririshaji mzuri wa maji, na pH ya kuanzia 6.5-7.5 ni bora kwa kilimo cha tango. Hakikisha kuwa udongo una maada za kikaboni kwa kuongeza mboji ya kikaboni au samadi yoyote ya shamba ili kupata mavuno zaidi.

Hali ya hewa

Zao hili linahitaji joto la wastani, kati ya 20°C na 26°C. Unyevunyevu mwingi husababisha magonjwa kama vile ukungu na ukungu nyororo. Hali ya jalidi haifai.

Magonjwa Yanayowezekana

Tango

Jifunze yote kuhusu jinsi ya kuikuza kupitia Plantix!


Tango

Tango

Kuza mazao yenye afya na pata mavuno mengi kupitia Programu ya Plantix!

Mambo Muhimu

Umwagiliaji
Wastani

Kulima
upandaji mbegu moja kwa moja ardhini

Kuvuna
45 - 70 siku

Nguvukazi
Wastani

Mwanga wa jua
full sun

Thamani ya pH
6 - 7.5

Halijoto
20°C - 30°C

Tango

Jifunze yote kuhusu jinsi ya kuikuza kupitia Plantix!

Matunzo

Tango ni mmea uoteshwao kila mwaka wakati wa msimu wa vuguvugu. Ni mmea unaokua kwa kujishikiza ambao hutumiwa kama mboga nchini India wakati wa kiangazi. Tunda la tango huliwa bichi au hutumiwa kama saladi au hupikwa kama mboga. Mbegu za tango hutumiwa kwenye utengenezaji wa mafuta yenye faida za kiafya.

Udongo

Udongo wa tifutifu wenye maada za kikaboni kwa wingi, wenye utiririshaji mzuri wa maji, na pH ya kuanzia 6.5-7.5 ni bora kwa kilimo cha tango. Hakikisha kuwa udongo una maada za kikaboni kwa kuongeza mboji ya kikaboni au samadi yoyote ya shamba ili kupata mavuno zaidi.

Hali ya hewa

Zao hili linahitaji joto la wastani, kati ya 20°C na 26°C. Unyevunyevu mwingi husababisha magonjwa kama vile ukungu na ukungu nyororo. Hali ya jalidi haifai.

Magonjwa Yanayowezekana